TANGAZO
Msanii wa filamu za Kibongo,Steve Mengere’Nyerere’ hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Kinondoni.

Aidha Steve alisema kuwa Kinondoni ndipo alipozaliwa na kukulia na anajua changamoto zinazowakabili wakazi wa jimbo hilo ambazo ni wakati wa mvua wananchi hukubwa na mafuriko lakini hakuna kiongozi aliyeweza kutatua tatizo hilo.

Pia aliongeza kuwa mikopo midogo midogo kwa kina mama na ajira kwa vijana,ongezeko la ada mashuleni ,kero ya uchafu ,tiba kwa akina mama wajamzito ambapo kwa sasa hivi mama mjamazito mzazi anapoenda kujifungua anaambiwa aende na pamba, mkasi n.k, vitanda kuwa vichache kwenye wodi zote. Gari la wagonjwa ni mmoja tu.

Je wewe unakabiliwa na changamoto ya kipato kama nilivyo nayo mimi??..basi kama ndiyo njoo nikuonyesha njia ya kukuza kipato hicho pamoja na kutekeleza malengo yako...nipigie 0784 778788

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by Harocq

Post a Comment



 
Top